Archives September 2019

Sarufi Amali (Pragmatiki)

ISIMU AMALI (PRAGRAMATIKI)

MADA YA TISA

Katika mada hii utajifunza yafuatayo

  1. Maana ya Isimu Amali (Pragmatiki) – Hapa utafahamu maana ya Isimu alamali au Pragramatiki kulingana na wataalamu mbalimbali
  2. Dhima za Isimu amali (Pragmatiki) – Hapa utajifunza ni mambo gani hasa Isimu amali (Pragmatiki) hujishughulisha kwayo.
  3. Dhana kuu tatu ambazo Isimu Amali (Pragmatiki) hujishughulisha nazo.
  4. Maana ya Uoleze – Usonde na aina zake
  5. Udhaniliza – Maana ya Udhanalizo na aina zake pamoja na maelezo ya kina
  6. Maana Uchopezo na sifa za Uchopezo
  7. Vimanilizi Vya Mazungumzo – Hapa utafahamu pia aina za Vimanilizi vya Mazungumzo pamoja na Hatua kuu za kutambua vimanilizi vya mazungumzo. Pia utafahamu sifa kuu za Vimanilizi vya mazungumzo.
  8. Sababu za kuvunjika au kukiuka kanuni za kimazungumzo (kanuni shirikishi za mazungumzo)
  9. Nadharia ya Kitendo uneni – Utajifunza maana yake kwa undani Zaidi
  10. Hatua za Kuu za Kitendo-Uneni pamoja na Masharti ya utokeaji wake.
  11. Uanishaji wa Vitendo-Uneni kwa kuzingatia vigezo vyake pamoja na Umuhimu wa Nadharia ya Kitendo-Uneni

WASILIANA Lr. Emanuel Kupitia +255 758 018 597 unaweza pia kutumia whatsapp au Email – emanmic@yahoo.com Utaweza kusoma mada hii nzima na ikiwa upon nje ya Dar es Salaam (Tanzania) utaweza kusoma kupitia mtandao, na ikiwa una swali kuwa huru kuuliza ila kumbuka tu kujitambulisha kwanza.

Uncategorized
Sarufi Amali (Pragmatiki)

ISIMU AMALI (PRAGRAMATIKI)

MADA YA TISA

Katika mada hii utajifunza yafuatayo

  1. Maana ya Isimu Amali (Pragmatiki) – Hapa utafahamu maana ya Isimu alamali au Pragramatiki kulingana na wataalamu mbalimbali
  2. Dhima za Isimu amali (Pragmatiki) – Hapa utajifunza ni mambo gani hasa Isimu amali (Pragmatiki) hujishughulisha kwayo.
  3. Dhana kuu tatu ambazo Isimu Amali (Pragmatiki) hujishughulisha nazo.
  4. Maana ya Uoleze – Usonde na aina zake
  5. Udhaniliza – Maana ya Udhanalizo na aina zake pamoja na maelezo ya kina
  6. Maana Uchopezo na sifa za Uchopezo
  7. Vimanilizi Vya Mazungumzo – Hapa utafahamu pia aina za Vimanilizi vya Mazungumzo pamoja na Hatua kuu za kutambua vimanilizi vya mazungumzo. Pia utafahamu sifa kuu za Vimanilizi vya mazungumzo.
  8. Sababu za kuvunjika au kukiuka kanuni za kimazungumzo (kanuni shirikishi za mazungumzo)
  9. Nadharia ya Kitendo uneni – Utajifunza maana yake kwa undani Zaidi
  10. Hatua za Kuu za Kitendo-Uneni pamoja na Masharti ya utokeaji wake.
  11. Uanishaji wa Vitendo-Uneni kwa kuzingatia vigezo vyake pamoja na Umuhimu wa Nadharia ya Kitendo-Uneni

WASILIANA Lr. Emanuel Kupitia +255 758 018 597 unaweza pia kutumia whatsapp au Email – emanmic@yahoo.com Utaweza kusoma mada hii nzima na ikiwa upon nje ya Dar es Salaam (Tanzania) utaweza kusoma kupitia mtandao, na ikiwa una swali kuwa huru kuuliza ila kumbuka tu kujitambulisha kwanza.

Sarufi Maana (Semantiki)

ISIMU MAANA (SEMANTIKI)

MADA YA NANE

Katika mada hii tutajifunza yafuatayo

  1. Maana ya Isimu maana kulingana na wataalamu mbalimbali
  2. Maana ya Maana (Maana ya Maana kutokana na wataalamu mbalimbali.
  3. Viwango vya Isimu maana katika kuchunguza maana
  4. Umuhimu wa Umilisi wa Lugha
  5. Matawi ya Isimu Maana (Semantiki)
  6. Isimu maana Leksia (Semantiki Leksia) n.k
  7. Kazi kuu za Isimu maana Muundo (Semantiki Muundo) – Hapa utafahamu kazi kuu sita za isimu maana Muundo.
  8. Aina za Maana (hapa utapata kujua aina za maana na fafanuzi zake kwa undani)
  9. Nadharia za Maana (Hapa utafahamu nadharia kuu nane za maana kwa kina na mifano kuntu)
  10. Mahusiano ya Kifahiwa (hapa utafahamu aina kuu saba za Mahusiano ya Kifahiwa)
  11. Maana ya Visawe (Pia utafahamu  sababu kuu saba za utokeaji wa visawe)
  12. Nadharia ya Vikoa vya Maana (Utafahamu nadharia hii kwa kina)
  13. Kamusi
  14. nafasi ya Kamusi hasa katika fafanuzi na fasili za maana
  15. Muundo wa Kamusi (Utafahamu pia aina za kamusi)
  16.  Leksimu au Leksia (Utajifunza maana ya Leksimu kulingana na wataalamu mbalimbali)
  17. Vigezo vya muhimu vya kamusi bora katika viwango vya leksia
  18. Dhima ya Kamusi

WASILIANA Lr. Emanuel Kupitia +255 758 018 597 unaweza pia kutumia whatsapp au Email – emanmic@yahoo.com Utaweza kusoma mada hii nzima na ikiwa upon nje ya Dar es Salaam (Tanzania) utaweza kusoma kupitia mtandao, na ikiwa una swali kuwa huru kuuliza ila kumbuka tu kujitambulisha kwanza.

Uncategorized
Sarufi Maana (Semantiki)

ISIMU MAANA (SEMANTIKI)

MADA YA NANE

Katika mada hii tutajifunza yafuatayo

  1. Maana ya Isimu maana kulingana na wataalamu mbalimbali
  2. Maana ya Maana (Maana ya Maana kutokana na wataalamu mbalimbali.
  3. Viwango vya Isimu maana katika kuchunguza maana
  4. Umuhimu wa Umilisi wa Lugha
  5. Matawi ya Isimu Maana (Semantiki)
  6. Isimu maana Leksia (Semantiki Leksia) n.k
  7. Kazi kuu za Isimu maana Muundo (Semantiki Muundo) – Hapa utafahamu kazi kuu sita za isimu maana Muundo.
  8. Aina za Maana (hapa utapata kujua aina za maana na fafanuzi zake kwa undani)
  9. Nadharia za Maana (Hapa utafahamu nadharia kuu nane za maana kwa kina na mifano kuntu)
  10. Mahusiano ya Kifahiwa (hapa utafahamu aina kuu saba za Mahusiano ya Kifahiwa)
  11. Maana ya Visawe (Pia utafahamu  sababu kuu saba za utokeaji wa visawe)
  12. Nadharia ya Vikoa vya Maana (Utafahamu nadharia hii kwa kina)
  13. Kamusi
  14. nafasi ya Kamusi hasa katika fafanuzi na fasili za maana
  15. Muundo wa Kamusi (Utafahamu pia aina za kamusi)
  16.  Leksimu au Leksia (Utajifunza maana ya Leksimu kulingana na wataalamu mbalimbali)
  17. Vigezo vya muhimu vya kamusi bora katika viwango vya leksia
  18. Dhima ya Kamusi

WASILIANA Lr. Emanuel Kupitia +255 758 018 597 unaweza pia kutumia whatsapp au Email – emanmic@yahoo.com Utaweza kusoma mada hii nzima na ikiwa upon nje ya Dar es Salaam (Tanzania) utaweza kusoma kupitia mtandao, na ikiwa una swali kuwa huru kuuliza ila kumbuka tu kujitambulisha kwanza.

Sarufi Geuza Maumbo
  • MADA YA SABA – MIKABALA YA KISARUFI
    • Katika Mada hii, tutasoma yafuatayo.
  • Maana ya Sarufi
    (Yaani nini maana ya sarufi kutokana na mawazo ya wataalamu mbalimbali)
  • Chimbuko la Sarufi
  • Mikabala ya Sarufi
    (Hapa utafahamu, mikabala mikuu ya sarufi)
  • Sarufi mapokeo
    Hapa utafahamu kwa undani wake kuhusu misingi, ubora na udhaifu sarufi mapokeo)
  • Mkabala wa Sarufi Miundo
    (Hapa utafahamu Sarufi miuindo kwa kina yaani kulingana na mawazo ya wataalamu mbalimbali duniani kote)
    Asili ya Sarufi Miundo
  • Mchango wa Ferdinand de Saussure katika Mkabala wa Sarufi Miundo
    (Hapa utafaham ana mchango gani hasa katika tasnia ya Mkabala huu, kwa kifupi ana michango mikubwa, utaweza kuifahamu yote)
  • Wanasarufi Miundo wa Kimarekani
    (Utawafahamu wanamiundo wa kimarekani pamoja na mitazomo na mielekeo yao)
  • Misingi ya Sarufi Miundo kwa ujumla wake
  • Utafahamu Mbinu ya Kiambajengo ambayo Wanamiundo waliitumia.
    (Hapa pia utapata kujua Dhana ya Unyambuaji (Upanuzi)  ambayo hujitokeza katika uchanganuzi wa kiambajengo kifuasi)
  • Utafahamu pia Umuhimu wa Uchanganuzi wa Kiambajengo Kifuasi
  • Udhaifu wa uchanganuzi wa Kiambajengo Kifuasi
  • Mkabala wa Sarufi Geuza Maumbo Zalishi.
  • Nadharia zinazounda Sarufi Geuza maumbo Zalishi
  • Dhana za Sarufi Zalishi
  • Dhana ya Ugeuzi
  • Sarufi Miundo virai (hapa utafahamu Umuhimu wa Kanuni Miundo Virai na Udhaifu wake)
  • Udhaifu wa nadharia ya Sarufi Miundo kwa ujumla wake.

WASILIANA Lr. Emanuel Kupitia +255 758 018 597 unaweza pia kutumia whatsapp au Email – emanmic@yahoo.com Utaweza kusoma mada hii nzima na ikiwa upon nje ya Dar es Salaam (Tanzania) utaweza kusoma kupitia mtandao, na ikiwa una swali kuwa huru kuuliza ila kumbuka tu kujitambulisha kwanza.

Uncategorized
Sarufi Geuza Maumbo
  • MADA YA SABA – MIKABALA YA KISARUFI
    • Katika Mada hii, tutasoma yafuatayo.
  • Maana ya Sarufi
    (Yaani nini maana ya sarufi kutokana na mawazo ya wataalamu mbalimbali)
  • Chimbuko la Sarufi
  • Mikabala ya Sarufi
    (Hapa utafahamu, mikabala mikuu ya sarufi)
  • Sarufi mapokeo
    Hapa utafahamu kwa undani wake kuhusu misingi, ubora na udhaifu sarufi mapokeo)
  • Mkabala wa Sarufi Miundo
    (Hapa utafahamu Sarufi miuindo kwa kina yaani kulingana na mawazo ya wataalamu mbalimbali duniani kote)
    Asili ya Sarufi Miundo
  • Mchango wa Ferdinand de Saussure katika Mkabala wa Sarufi Miundo
    (Hapa utafaham ana mchango gani hasa katika tasnia ya Mkabala huu, kwa kifupi ana michango mikubwa, utaweza kuifahamu yote)
  • Wanasarufi Miundo wa Kimarekani
    (Utawafahamu wanamiundo wa kimarekani pamoja na mitazomo na mielekeo yao)
  • Misingi ya Sarufi Miundo kwa ujumla wake
  • Utafahamu Mbinu ya Kiambajengo ambayo Wanamiundo waliitumia.
    (Hapa pia utapata kujua Dhana ya Unyambuaji (Upanuzi)  ambayo hujitokeza katika uchanganuzi wa kiambajengo kifuasi)
  • Utafahamu pia Umuhimu wa Uchanganuzi wa Kiambajengo Kifuasi
  • Udhaifu wa uchanganuzi wa Kiambajengo Kifuasi
  • Mkabala wa Sarufi Geuza Maumbo Zalishi.
  • Nadharia zinazounda Sarufi Geuza maumbo Zalishi
  • Dhana za Sarufi Zalishi
  • Dhana ya Ugeuzi
  • Sarufi Miundo virai (hapa utafahamu Umuhimu wa Kanuni Miundo Virai na Udhaifu wake)
  • Udhaifu wa nadharia ya Sarufi Miundo kwa ujumla wake.

WASILIANA Lr. Emanuel Kupitia +255 758 018 597 unaweza pia kutumia whatsapp au Email – emanmic@yahoo.com Utaweza kusoma mada hii nzima na ikiwa upon nje ya Dar es Salaam (Tanzania) utaweza kusoma kupitia mtandao, na ikiwa una swali kuwa huru kuuliza ila kumbuka tu kujitambulisha kwanza.

Sarufi Miundo (Sintaksia)

ISIMU MUUNDO (SINTAKSIA)

Katika Mada hii tutasoma yafuatayo

Dhana ya Isimu Miundo maana yake
Maana halisi ya Isimu muundo (Sitaksia) kutokana na wataalamu mbalimbali..

Malengo ya Isimu muundo (Sintaksia)
(hapa utafahamu malengo makuu ya isimu muundo au sintaksia kwa undani wake)

Vipashio vya Lugha
(Hapa utafahamu vipashio vikuu vya lugha kwa undani wake na aina za aina zake)

Sentensi na aina zake, pamoja na Tungo

Maana ya Tungo pamoja na miundo yake

Maana ya Kauli pamoja na aina zake

Kategoria za kisarufi
(hapa utajifunza kategoria kuu za kisarufi kwa undani wake)

WASILIANA Mr. Emanuel Kupitia +255 758 018 597 unaweza pia kutumia whatsapp au Email – emanmic@yahoo.com Utaweza kusoma mada hii nzima na ikiwa upon je ya Dar es Salaam (Tanzania) utaweza kusoma kupitia mtandao, na ikiwa una swali kuwa huru kuuliza ila kumbuka tu kujitambulisha kwanza.

Uncategorized
Sarufi Miundo (Sintaksia)

ISIMU MUUNDO (SINTAKSIA)

Katika Mada hii tutasoma yafuatayo

Dhana ya Isimu Miundo maana yake
Maana halisi ya Isimu muundo (Sitaksia) kutokana na wataalamu mbalimbali..

Malengo ya Isimu muundo (Sintaksia)
(hapa utafahamu malengo makuu ya isimu muundo au sintaksia kwa undani wake)

Vipashio vya Lugha
(Hapa utafahamu vipashio vikuu vya lugha kwa undani wake na aina za aina zake)

Sentensi na aina zake, pamoja na Tungo

Maana ya Tungo pamoja na miundo yake

Maana ya Kauli pamoja na aina zake

Kategoria za kisarufi
(hapa utajifunza kategoria kuu za kisarufi kwa undani wake)

WASILIANA Mr. Emanuel Kupitia +255 758 018 597 unaweza pia kutumia whatsapp au Email – emanmic@yahoo.com Utaweza kusoma mada hii nzima na ikiwa upon je ya Dar es Salaam (Tanzania) utaweza kusoma kupitia mtandao, na ikiwa una swali kuwa huru kuuliza ila kumbuka tu kujitambulisha kwanza.

Isimu Maumbo – Mololojia

Mada ya Tano
ISIMU MAUMBO (Monolojia)

MADA YA TANO

ISIMU MAUMBO (Mofolojia)

Katika mada hii utajifunza yafuatayo:

Nini maana ya isimu maumbo?
(hapa utajifunza hadi asili ya neno Isimu Maumbo)

Mambo ambayo isimu maumbo imejikita kwayo.
(Fahamu ni mambo gani hasa ambayo isimu maombo inajishughulisha nayo kwa undani wake)

Matawi ya Isimu Maumbo (Mofolojia).
(Fahamu Matawi ya Isimu Maumbo [Mofolojia]. )

Dhana za Msingi za Isimu Maumbo (Mofolojia)
(Fahamu pia vipashio vya msingi vya Isimu maumbo au Mofolojia)

Fahamu Alomofu kwa undani wake na aina zake

Maana ya Shina na aina zake

Maana ya Mzizi na Aina zake

Tofauti kati ya Mzizi na Shina

Uundaji wa maneno
(Fahamu ni njia zipi zinazotumika katika uundaji wa Manene ya Lugha na Istilahi zake)

Fahamu aina kuu za maneno
(Maana kuu za maneno katika kiwango cha chuo, utazifahamu kwa undani na fafanuzi kwa wanachuo)

WASILIANA Mr. Emanuel Kupitia +255 758 018 597 unaweza pia kutumia whatsapp au Email – emanmic@yahoo.com Utaweza kusoma mada hii nzima na ikiwa upon je ya Dar es Salaam (Tanzania) utaweza kusoma kupitia mtandao, na ikiwa una swali kuwa huru kuuliza ila kumbuka tu kujitambulisha kwanza.

Uncategorized
Isimu Maumbo – Mololojia

Mada ya Tano
ISIMU MAUMBO (Monolojia)

MADA YA TANO

ISIMU MAUMBO (Mofolojia)

Katika mada hii utajifunza yafuatayo:

Nini maana ya isimu maumbo?
(hapa utajifunza hadi asili ya neno Isimu Maumbo)

Mambo ambayo isimu maumbo imejikita kwayo.
(Fahamu ni mambo gani hasa ambayo isimu maombo inajishughulisha nayo kwa undani wake)

Matawi ya Isimu Maumbo (Mofolojia).
(Fahamu Matawi ya Isimu Maumbo [Mofolojia]. )

Dhana za Msingi za Isimu Maumbo (Mofolojia)
(Fahamu pia vipashio vya msingi vya Isimu maumbo au Mofolojia)

Fahamu Alomofu kwa undani wake na aina zake

Maana ya Shina na aina zake

Maana ya Mzizi na Aina zake

Tofauti kati ya Mzizi na Shina

Uundaji wa maneno
(Fahamu ni njia zipi zinazotumika katika uundaji wa Manene ya Lugha na Istilahi zake)

Fahamu aina kuu za maneno
(Maana kuu za maneno katika kiwango cha chuo, utazifahamu kwa undani na fafanuzi kwa wanachuo)

WASILIANA Mr. Emanuel Kupitia +255 758 018 597 unaweza pia kutumia whatsapp au Email – emanmic@yahoo.com Utaweza kusoma mada hii nzima na ikiwa upon je ya Dar es Salaam (Tanzania) utaweza kusoma kupitia mtandao, na ikiwa una swali kuwa huru kuuliza ila kumbuka tu kujitambulisha kwanza.

Mada ya Fonolojia kwa Undani wake

MADA YA NNE

FONOLOJIA

Yaliyopo katika mada hii kabla hatujasoma ni kama yafuatayo:-

Je nini maana ya Fonolojia?

Maana ya Fonolojia kulingana na wataalamu mbalimbali

Fonolojia ni…

Malengo ya Taaluma ya Fonolojia.
(Hapa utapata kujua malengo ya aina nne ya Fonolojia)

Matawi ya Fonolojia.
(hapa utapata kujua matawi makuu ya fonolojia na maana zake kuntu.)

Vipashio vya Fonolojia.

Kwanini Fonimu ni kipashio cha Kisaikolojia?
(Vigezo vinavyo dhihirisha kuwa Fonimu ni kipashio cha Kisaikolojia)

Kwanini Fonimu ni kipashio cha Kifonolojia?
(fahamu Vigezo vinavyo dhihirisha kuwa Fonimu ni kipashio cha Kifonolojia)

Kwanini Fonimu ni Kipashio cha Kifonetiki?
(fahamu Vigezo vinavyo dhihirisha kuwa Fonimu ni kipashio cha kifonetiki)

Fahamu Utambuzi wa Fonimu na Alofoni zake.

Aina Kuu za Fonimu.
(Fahamu Aina Kuu za Fonimu)

Fahamu maana ya Alofoni, Mkazo, Kidatu na Wakaa, kwa undani wake.

Fahamu maana ya Silabi na aina zake.

Fahamu Miundo ya silabi za Kiswahili Sanifu.

Fahamu Mifanyiko na Kanuni za Kifonolojia katika Lugha ya Kiswahili.

Fahamu Uhusiano na Utofauti wa baina ya Fonetiki na Fonolojia

WASILIANA Mr. Emanuel Kupitia +255 758 018 597 unaweza pia kutumia whatsapp au Email – emanmic@yahoo.com Utaweza kusoma mada hii nzima na ikiwa upon je ya Dar es Salaam (Tanzania) utaweza kusoma kupitia mtandao, na ikiwa una swali kuwa huru kuuliza ila kumbuka tu kujitambulisha kwanza.

Uncategorized
Mada ya Fonolojia kwa Undani wake

MADA YA NNE

FONOLOJIA

Yaliyopo katika mada hii kabla hatujasoma ni kama yafuatayo:-

Je nini maana ya Fonolojia?

Maana ya Fonolojia kulingana na wataalamu mbalimbali

Fonolojia ni…

Malengo ya Taaluma ya Fonolojia.
(Hapa utapata kujua malengo ya aina nne ya Fonolojia)

Matawi ya Fonolojia.
(hapa utapata kujua matawi makuu ya fonolojia na maana zake kuntu.)

Vipashio vya Fonolojia.

Kwanini Fonimu ni kipashio cha Kisaikolojia?
(Vigezo vinavyo dhihirisha kuwa Fonimu ni kipashio cha Kisaikolojia)

Kwanini Fonimu ni kipashio cha Kifonolojia?
(fahamu Vigezo vinavyo dhihirisha kuwa Fonimu ni kipashio cha Kifonolojia)

Kwanini Fonimu ni Kipashio cha Kifonetiki?
(fahamu Vigezo vinavyo dhihirisha kuwa Fonimu ni kipashio cha kifonetiki)

Fahamu Utambuzi wa Fonimu na Alofoni zake.

Aina Kuu za Fonimu.
(Fahamu Aina Kuu za Fonimu)

Fahamu maana ya Alofoni, Mkazo, Kidatu na Wakaa, kwa undani wake.

Fahamu maana ya Silabi na aina zake.

Fahamu Miundo ya silabi za Kiswahili Sanifu.

Fahamu Mifanyiko na Kanuni za Kifonolojia katika Lugha ya Kiswahili.

Fahamu Uhusiano na Utofauti wa baina ya Fonetiki na Fonolojia

WASILIANA Mr. Emanuel Kupitia +255 758 018 597 unaweza pia kutumia whatsapp au Email – emanmic@yahoo.com Utaweza kusoma mada hii nzima na ikiwa upon je ya Dar es Salaam (Tanzania) utaweza kusoma kupitia mtandao, na ikiwa una swali kuwa huru kuuliza ila kumbuka tu kujitambulisha kwanza.

Fonetiki kwa Ujumla

MADA YA TATU – FONETIKI KWA UJUMLA

Fonetiki ni nini?
Fahamu maana halisi ya fonetiki.
Fonetiki ni…

Matawi ya Fonetiki.
Fahamu matawi makuu ya fonetiki.

Jifunze Utamkaji wa sauti za lugha
hapa utajifunza pia ala za sauti na aina zake na namna ya kuzitumia ipasavyo.

Uainishaji wa Konsonanti na Irabu.
katika uanishaji wa konsonanti kuna vigezo maalumu vya kuzingatia. Utajifunza vigezi hivyo na hoja lukuki katika uainishaji wa konsonanti na irabu au nusu irabu

Uainishaji na ufafanuzi au uchanganuzi wa Irabu.
Hapa utafahamu vilevile namna halisi ya uanishaji wa irabu.
Utafahamu vigezo vikuu vinavyotumika tu kuainisha Irabu.

Fahamu maana ya AKIKI (Alfabeti za kifonetiki za Kimataifa)
Nini maana ya AKIKI?
AKIKI ilianzia wapi na mwaka gani?
Utafahamu maana ya AKIKI na historia yake kwa ufupi.

Fahamu  kazi na malengo ya AKIKI kwa undani wake katika lugha.

Fahamu changamoto na Matatizo katika shirika la IPA (The International Phonetic Association)

HAYA NDIO MAMBO MAKUU KATIKA MADA HII KATIKA KIWANGO CHA CHUO (yaani kwa wanachuo)

WASILIANA Mr. Emanuel Kupitia +255 758 018 597 unaweza pia kutumia whatsapp au Email – emanmic@yahoo.com Utaweza kusoma mada hii nzima na ikiwa upon je ya Dar es Salaam (Tanzania) utaweza kusoma kupitia mtandao, na ikiwa una swali kuwa huru kuuliza ila kumbuka tu kujitambulisha kwanza.

Uncategorized
Fonetiki kwa Ujumla

MADA YA TATU – FONETIKI KWA UJUMLA

Fonetiki ni nini?
Fahamu maana halisi ya fonetiki.
Fonetiki ni…

Matawi ya Fonetiki.
Fahamu matawi makuu ya fonetiki.

Jifunze Utamkaji wa sauti za lugha
hapa utajifunza pia ala za sauti na aina zake na namna ya kuzitumia ipasavyo.

Uainishaji wa Konsonanti na Irabu.
katika uanishaji wa konsonanti kuna vigezo maalumu vya kuzingatia. Utajifunza vigezi hivyo na hoja lukuki katika uainishaji wa konsonanti na irabu au nusu irabu

Uainishaji na ufafanuzi au uchanganuzi wa Irabu.
Hapa utafahamu vilevile namna halisi ya uanishaji wa irabu.
Utafahamu vigezo vikuu vinavyotumika tu kuainisha Irabu.

Fahamu maana ya AKIKI (Alfabeti za kifonetiki za Kimataifa)
Nini maana ya AKIKI?
AKIKI ilianzia wapi na mwaka gani?
Utafahamu maana ya AKIKI na historia yake kwa ufupi.

Fahamu  kazi na malengo ya AKIKI kwa undani wake katika lugha.

Fahamu changamoto na Matatizo katika shirika la IPA (The International Phonetic Association)

HAYA NDIO MAMBO MAKUU KATIKA MADA HII KATIKA KIWANGO CHA CHUO (yaani kwa wanachuo)

WASILIANA Mr. Emanuel Kupitia +255 758 018 597 unaweza pia kutumia whatsapp au Email – emanmic@yahoo.com Utaweza kusoma mada hii nzima na ikiwa upon je ya Dar es Salaam (Tanzania) utaweza kusoma kupitia mtandao, na ikiwa una swali kuwa huru kuuliza ila kumbuka tu kujitambulisha kwanza.

Taaluma ya Isimu kwa ujula

Nini maana ya Isimu?

Fahamu Maana ya isimu kutokana na wataalamu mbalimbali
Isimu ni…

Fahamu Historia kamili ya Taaluma ya isimu kwa undani wake na kulingana navipindi mahususi.

Fahamu Malengo ya Taaluma ya isimu.
Kuna malengo makuu ya taaluma ya isimu. Utayafamu

Usayansi wa isimu
Fahamu kwanini tunasema Isimu ni sayansi. Kuna hoja  zisizopungua nane (8), utazifahamu ndani  ya mada hii ya Taaluma ya isimu.

Fahamu Matawi makuu ya Isimu.
Isimu ina matawi yasiyopungua kumi (10)

Hii ni mda fupi ila ina mambo mengi ndani yake.

HAYA NDIO MAMBO MAKUU KATIKA MADA HII KATIKA KIWANGO CHA CHUO (yaani kwa wanachuo)

WASILIANA Mr. Emanuel Kupitia +255 758 018 597 unaweza pia kutumia whatsapp au Email – emanmic@yahoo.com Utaweza kusoma mada hii nzima na ikiwa upon je ya Dar es Salaam (Tanzania) utaweza kusoma kupitia mtandao, na ikiwa una swali kuwa huru kuuliza ila kumbuka tu kujitambulisha kwanza.

Uncategorized
Taaluma ya Isimu kwa ujula

Nini maana ya Isimu?

Fahamu Maana ya isimu kutokana na wataalamu mbalimbali
Isimu ni…

Fahamu Historia kamili ya Taaluma ya isimu kwa undani wake na kulingana navipindi mahususi.

Fahamu Malengo ya Taaluma ya isimu.
Kuna malengo makuu ya taaluma ya isimu. Utayafamu

Usayansi wa isimu
Fahamu kwanini tunasema Isimu ni sayansi. Kuna hoja  zisizopungua nane (8), utazifahamu ndani  ya mada hii ya Taaluma ya isimu.

Fahamu Matawi makuu ya Isimu.
Isimu ina matawi yasiyopungua kumi (10)

Hii ni mda fupi ila ina mambo mengi ndani yake.

HAYA NDIO MAMBO MAKUU KATIKA MADA HII KATIKA KIWANGO CHA CHUO (yaani kwa wanachuo)

WASILIANA Mr. Emanuel Kupitia +255 758 018 597 unaweza pia kutumia whatsapp au Email – emanmic@yahoo.com Utaweza kusoma mada hii nzima na ikiwa upon je ya Dar es Salaam (Tanzania) utaweza kusoma kupitia mtandao, na ikiwa una swali kuwa huru kuuliza ila kumbuka tu kujitambulisha kwanza.

Dhana ya Lugha kwa Ujumla

Kwa wanachuo hasa

MADA YA KWANZA
DHANA YA LUGHA KWA UJUMLA WAKE

Fahamu maana ya Lugha kutoka kwa wataalamu mbalimbali kama Massamba, Msokile, Nkwera, TUKI n.k

Lugha ni ….

– Sifa za lugha ya binadamu

Je unafahamu kuna sifa ngapi za Lugha ya Binadamu?

Kuna sifa Tisa (9) za lugha ya Binadamu. Je ni zipi?

Je unafahamu umuhimu wa Lugha?

Fahamu hoja kuu tisa zinazoelezea sifa za lugha ya Binadamu

Je unafahamu Asili ya Lugha ya Binadamu?

Fahamu nadharia kuu zinazoelezea asili ya lugha ya binadamu na hoja kuntu ndani yake.

Je unafahamu Utofauti uliopo katika ya Lugha ya binadamu na mawasiliano ya wanyama?

Fahamu hoja kuu (10) kumi zinazoonyesha utofauti katika lugha ya binadamu na mawasiliano ya wanyama

HAYA NDIO MAMBO MAKUU KATIKA MADA HII KATIKA KIWANGO CHA CHUO (yaani kwa wanachuo)

WASILIANA Mr. Emanuel Kupitia +255 758 018 597 unaweza pia kutumia whatsapp au Email – emanmic@yahoo.com Utaweza kusoma mada hii nzima na ikiwa upon je ya Dar es Salaam (Tanzania) utaweza kusoma kupitia mtandao, na ikiwa una swali kuwa huru kuuliza ila kumbuka tu kujitambulisha kwanza.

Uncategorized
Dhana ya Lugha kwa Ujumla

Kwa wanachuo hasa

MADA YA KWANZA
DHANA YA LUGHA KWA UJUMLA WAKE

Fahamu maana ya Lugha kutoka kwa wataalamu mbalimbali kama Massamba, Msokile, Nkwera, TUKI n.k

Lugha ni ….

– Sifa za lugha ya binadamu

Je unafahamu kuna sifa ngapi za Lugha ya Binadamu?

Kuna sifa Tisa (9) za lugha ya Binadamu. Je ni zipi?

Je unafahamu umuhimu wa Lugha?

Fahamu hoja kuu tisa zinazoelezea sifa za lugha ya Binadamu

Je unafahamu Asili ya Lugha ya Binadamu?

Fahamu nadharia kuu zinazoelezea asili ya lugha ya binadamu na hoja kuntu ndani yake.

Je unafahamu Utofauti uliopo katika ya Lugha ya binadamu na mawasiliano ya wanyama?

Fahamu hoja kuu (10) kumi zinazoonyesha utofauti katika lugha ya binadamu na mawasiliano ya wanyama

HAYA NDIO MAMBO MAKUU KATIKA MADA HII KATIKA KIWANGO CHA CHUO (yaani kwa wanachuo)

WASILIANA Mr. Emanuel Kupitia +255 758 018 597 unaweza pia kutumia whatsapp au Email – emanmic@yahoo.com Utaweza kusoma mada hii nzima na ikiwa upon je ya Dar es Salaam (Tanzania) utaweza kusoma kupitia mtandao, na ikiwa una swali kuwa huru kuuliza ila kumbuka tu kujitambulisha kwanza.

Serengeti National Park

Serengeti National Park is undoubtedly the best-known wildlife sanctuary in the world, unequalled for its natural beauty and scientific value, it has the greatest concentration of plains game in Africa

The Serengeti National Park in Tanzania was established in 1952. It is home to the greatest wildlife spectacle on earth – the great migration of wildebeest and zebra. The resident population of lion, cheetah, elephant, giraffe, and birds is also impressive. There’s a wide variety of accommodation available, from luxury lodges to mobile camps. The park covers 5,700 sq miles, (14,763 sq km), it’s larger than Connecticut, with at most a couple hundred vehicles driving around.

The Park can be divided into 3 sections. The popular southern/central part (Seronera Valley), is what the Maasai called the “serengit”, the land of endless plains. It’s classic savannah, dotted with acacias and filled with wildlife. The western corridor is marked by the Grumeti River, and has more forests and dense bush. The north, Lobo area, meets up with Kenya’s Masai Mara Reserve, is the least visited section.

Two World Heritage Sites and two Biosphere Reserves have been established within the 30,000 km² region. It’s unique ecosystem has inspired writers from Ernest Hemingway to Peter Mattheissen, filmakers like Hugo von Lawick and Alan Root as well as numerous photographers and scientists – many of which have put their works at our disposal to create this website.

The Serengeti ecosystem is one of the oldest on earth. The essential features of climate, vegetation and fauna have barely changed in the past million years. Early man himself made an appearance in Olduvai Gorge about two million years ago. Some patterns of life, death, adaptation and migration are as old as the hills themselves.

It is the migration for which Serengeti is perhaps most famous. Over a million wildebeest and about 200,000 zebras flow south from the northern hills to the southern plains for the short rains every October and November, and then swirl west and north after the long rains in April, May and June. So strong is the ancient instinct to move that no drought, gorge or crocodile infested river can hold them back.

The Wildebeest travel through a variety of parks, reserves and protected areas and through a variety of habitat. Join us to explore the different forms of vegetation and landscapes of the Serengeti ecosystem and meet some of their most fascinating inhabitants.

Uncategorized
Serengeti National Park

Serengeti National Park is undoubtedly the best-known wildlife sanctuary in the world, unequalled for its natural beauty and scientific value, it has the greatest concentration of plains game in Africa

The Serengeti National Park in Tanzania was established in 1952. It is home to the greatest wildlife spectacle on earth – the great migration of wildebeest and zebra. The resident population of lion, cheetah, elephant, giraffe, and birds is also impressive. There’s a wide variety of accommodation available, from luxury lodges to mobile camps. The park covers 5,700 sq miles, (14,763 sq km), it’s larger than Connecticut, with at most a couple hundred vehicles driving around.

The Park can be divided into 3 sections. The popular southern/central part (Seronera Valley), is what the Maasai called the “serengit”, the land of endless plains. It’s classic savannah, dotted with acacias and filled with wildlife. The western corridor is marked by the Grumeti River, and has more forests and dense bush. The north, Lobo area, meets up with Kenya’s Masai Mara Reserve, is the least visited section.

Two World Heritage Sites and two Biosphere Reserves have been established within the 30,000 km² region. It’s unique ecosystem has inspired writers from Ernest Hemingway to Peter Mattheissen, filmakers like Hugo von Lawick and Alan Root as well as numerous photographers and scientists – many of which have put their works at our disposal to create this website.

The Serengeti ecosystem is one of the oldest on earth. The essential features of climate, vegetation and fauna have barely changed in the past million years. Early man himself made an appearance in Olduvai Gorge about two million years ago. Some patterns of life, death, adaptation and migration are as old as the hills themselves.

It is the migration for which Serengeti is perhaps most famous. Over a million wildebeest and about 200,000 zebras flow south from the northern hills to the southern plains for the short rains every October and November, and then swirl west and north after the long rains in April, May and June. So strong is the ancient instinct to move that no drought, gorge or crocodile infested river can hold them back.

The Wildebeest travel through a variety of parks, reserves and protected areas and through a variety of habitat. Join us to explore the different forms of vegetation and landscapes of the Serengeti ecosystem and meet some of their most fascinating inhabitants.